Isaiah 19:1

Unabii Kuhusu Misri

1 aNeno kuhusu Misri:

Tazama, Bwana amepanda juu ya wingu liendalo kwa haraka
naye anakuja Misri.
Sanamu za Misri zinatetemeka mbele yake,
nayo mioyo ya Wamisri inayeyuka ndani yao.
Copyright information for SwhNEN